How to convert power of business

Online Kuwa tajiri nini maana yake? 

Maana yake una tabia nyingi za kitajiri 

Kamavile BIDII ,ujasiri,hesima,nidhamu,kujiamini,mawazo chanya,kujitegemea,na kutegemewa na wengine  utulivu wa akili msiri usafi mambo ya kumpendeza MUNGU  wabunifu wana msaada busara na hekima WAPENDA maendeleo ya wengine  wavumilivu wasio kata Tamaa   Tamaa kiufupi utajiri ni njia ya kumpendeza MUNGU 

NINI MAANA YA KUWA MASIKI ✍✍Unaweza kuwa masikini bila ya kuji tambua kuwa wewe ni maskini maana hata mulevi ukimwambia amelewa ana kuwa mkariii vivuo hivyo hata wewe unaweza kuwa masikini bila ya kuji tambua kuwa wewe ni masiki   kuna mambo au tabia za kuchunguza kwako ikiwa utaziona au unazo baadhi ujue kuwa una dalili za umasikini na jjue kuwa dalili ya mvua ni ...mawingu  👇👇👇✍ uvivu,woga,dharau, uzinzi,ulevi,kutojiamini, utovuwanidhamu,roho mbaya, roho ya kwanini matumizi mabaya ya mali  ✍ubinafsi rohoya husda unafiki umbea ,kukosa siri,kutegea na kuombaomba 

Fujo,kelele,uchafu,uongo Uchawi, imani za kishilikina tuu nk  HATA KIPOFU ANA ONA PESA PIA KUFERI SHURE SIYO KUFERI MAISHA  by Isack24onilne 🤳🤳🤳0758892100 WhatsApp  

Comments

Popular Posts