MASHARITI YA KUPATA PESA FACEBOOK

Najua wengi sana wana subilia kupiga pesa kutoka kwa meta kipitia Facebook page  

 Bila shaka hayo ni maamzi mazuli sana  
 Lakini kumbuka kuwa unaweza kuwa na follows wengi hata 5000 nk usilipwe kwakuwa kuna vigezo meta ana vigitaji sana   leo nita kujuza kwa uchache tuu  vigezo vya mhimu ambavyo ni vya kuzingatia ili ulipwe Facebook page  


1  Hakikisha  Facebook page  yako inamajina halisi yani mf  JONAS  James Peter   

2  taarifa zako za DOCUMENT zako ziwe sahihi   andaa taarifa yako iwe ina eleweka 
  
3 Uwena tin number   
4 Uwena kadi ya benk maana wanalipa kwa njia ya kadi ya benk    nitaendelea kutoa elimu zaidiii   asante

Comments

Popular Posts